Imeripotiwa kuwa Klabu ya Tz Prisons ya jijini Mbeya ipo mbioni kumsajili mshambuliaji wa Simba Sc Mohamed Rashid kwa mkopo mara baada ya kumalizika kwa msimu huu.
Mo ni moja ya wachezaji waliokosa nafasi ya kucheza katika kikosi cha kwanza cha Simba sc tangu kuanza kwa msimu huu.
#tanzaniapremierleague🇹🇿