
credit: @sokawaytz…
– Nyota mwingine wa timu ya taifa ya @ugandacranes πΊπ¬ anajiunga na Klabu ya Ligi Kuu Nchini Misri πͺπ¬!!.
.
– Aliyekuwa Kiungo wa Klabu ya Vipers FC pia alikuwa Nahodha wa Kikosi hicho, Taddeo Lwanga Amesaini Mkataba wa kuitumikia Klabu ya Tanta FC iliyopanda Daraja kucheza Ligi kuu Nchini Misri!!.
.
– Nyota wa @ugandacranes waliojiunga na Vilabu vya Misri Baada ya AFCON..
Khalid Aucho – El Makkasa β
Abdu Lumala – Pyramids β
Emmanuel Okwi – Ittihad Alexandria β
Taddeo Lwanga β
#TransferNewsUpdates
@Sokawaytz_