Leo Yanga inashuka kwenye uwanja wa Taifa kuikabili Lipuli Fc katika mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara raundi ya 12.
Baada ya mchezo huo, Yanga itashuka tena dimba la Taifa Jumapili, Novemba 04 kuikabili Ndanda Fc,
Awali TFF ilitangaza kufuta michezo ya Simba, Yanga na Azam iliyokuwa ipigwe wiki ya kwanza ya mwezi Novemba ili kutoa nafasi kwa wachezaji wa timu hizo walio kwenye kikosi cha Stars kujuishwa kambini nchini Afrika Kusini.
Michezo hiyo sasa itapigwa kama kawaida