ARSENAL : Yatinga Hatua Ya Makundi EUROPA

Arsenal wamefanikiwa kupita hatua ya makundi ya Europa baada ya kutoka suluhu dhidi ya Sporting CP. Mchezo wa hapo awali uliisha kwa Arsenal kushinda bao 1 kwa nunge bao pekee la Danny Welbeck kule Ureno. Hata hivyo katika mchezo wa marudiano Mshambuliaji huyu Danny Welbeck alipatwa na majeraha mnamo dakika ya 24 na kutolewa nje. :
Msimamo
:
Arsenal mechi 4 alama 10
Sporting mechi 4 alama 7
Poltava mechi 4 alama 3
Qarabag mechi 4 alama 3

Leave a comment