Goli la kwanza la Olivier Giroud chini ya kocha Maurizio Sarri limeisaidia Chelsea kufuzu hatua ya 32 bora kwenye michuano ya Europa League baada ya kupata ushindi dhidi ya Bate Borisov.
Goli la kwanza la Olivier Giroud chini ya kocha Maurizio Sarri limeisaidia Chelsea kufuzu hatua ya 32 bora kwenye michuano ya Europa League baada ya kupata ushindi dhidi ya Bate Borisov.