Bodi ya Wakurugezi Simba Sc yakutana kwa Mara Ya Kwanza

Leo Jumamosi Novemba 10, 2018 kimefanyika kikao cha Bodi ya Wakurugenzi ambacho kwa mara ya kwanza wajumbe wa bodi hiyo ambao walichaguliwa katika uchaguzi mkuu wa klabu uliofanyika wiki iliyopita wameshiriki.

Leave a comment