Mabingwa wapya wa klabu bingwa barani afrika ni klabu ya @esperance_sportive_detunis :
🛑Esperance wamefanikiwa kutwaa ubingwa huo kwa kuwachabanga Al Ahly [3-1]: :
:
🔄Mchezo wa kwanza ulifanyika Misri kwa Al Ahly kushinda bao 3-1 mchezo ambao mwamuzi alillamikiwa sana kwa kufanya maamuzi ya kutatiza kwa kutoa penati ambazo zimelalamikiwa sana.
Huu ni ubingwa wa 3 katika 7 walizocheza:
🎯1994
🎯2011
🎯2018
❌1999❌2000, ❌2010, ❌2012