#TetesiZaUsajili Baada ya taarifa za awali kudai kuwa kocha wa Manchester United Jose Mourinho yupo tayari kuwapiga bei beki wake Marcos Rojo pamoja na Eric Baily ili kusajili beki mwingine, klabu ya PSG inataka kutumia nafasi hiyo ili kumnasa Eric Baily kipindi cha usajili wa dirisha dogo mwezi January (The Mail)
C&p #sokaonlineUpdates