From @officiallipulifc TIMU ya Lipuli Fc leo imefanya mazoezi ya mwisho ikiwa nyumbani kabla ya kesho kuanza safari kwenda Dar kwa ajili ya kuikabili Simba SC tarehe 23 Ijumaa. Mchezo huo awali ulipangwa kuchezwa tarehe 21. #tanzaniapremierleague🇹🇿 #sokaonlineUpdates