Mshambuliaji wa zamani wa Simba Sc Laudit Mavugo amekamilisha mazungumzo ya awali na klabu ya NAPSA Stars Fc ya Zambia tayari kwa kukipiga nchini humo. .
.
Habari ambazo tumezipata @sokaonlinetz zimesema Mavugo anaweza akasaini mkataba na klabu hiyo inayoshiriki Ligi Kuu nchini Zambia muda wowote kuanzia sasa #sokaonlineUpdates