Hali ya mshambuliaji hatari wa Simba Emmanuel Okwi imeshindwa kulishawishi benchi la ufundi ambapo ameondolewa katika kikosi cha wachezaji 20 kilichoondoka jioni ya leo Jumanne March 05 2019 kuelekea nchini Algeria
Pamoja na kuuguza jeraha la chini ya jicho, Okwi alipata maumivu ya goti kwenye mchezo dhidi ya Lipuli Fc na kulazimika kurudishwa jijini Dar es salaam kutibiwa wakati kikosi cha Simba kikielekea mkoani Shinyanga kuikabili Stand United
Hata hivyo yaonekana hali yake haikutengemaa na benchi la ufundi kulazimika kumuondoa kikosini
Kikosi kilichosafiri;
Aishi Manula,
Zana Coulibaly
Nicholas Gyan
Asante Kwasi
Mohammed Hussein
Pascal Wawa
Poul Bukaba
James Kotei
Jonas Mkude
Mzamiru Yassin
Hassan Dilunga
Cletus Chama
Rashid Juma
Abdul Selemani
John Bocco
Maddie Kagere
Adam Salamba
Deo Munishi
Asante Kwasi
Mohammed Ibrahim
Haruna Niyonzima.