Shomari Kapombe anatarajiwa kurejea Afrika Kusini wiki hii kwa ajili ya vipimo vya mwisho kabla ya kuruhusiwa kuanza mazoezi mepesi. Pichani Kapombe akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu Crescentius Magori. #NguvuMoja
Shomari Kapombe anatarajiwa kurejea Afrika Kusini wiki hii kwa ajili ya vipimo vya mwisho kabla ya kuruhusiwa kuanza mazoezi mepesi. Pichani Kapombe akizungumza na Afisa Mtendaji Mkuu Crescentius Magori. #NguvuMoja