
Simba inakwenda Algeria kuumana na JS Saoura kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa raundi ya tano utakaopigwa Jumamosi March 09, saa nne usiku kwa saa za Afrika Mashariki

Simba inakwenda Algeria kuumana na JS Saoura kwenye mchezo wa ligi ya mabingwa raundi ya tano utakaopigwa Jumamosi March 09, saa nne usiku kwa saa za Afrika Mashariki