🤗Klabu ya Yanga imetozwa faini ya jumla ya sh. 6,000,000 (milioni sita) kwa kuingia uwanjani kwa kutumia mlango usio rasmi kutoingia vyumbani na kusababisha wachezaji wakaguliwe kwenye korido, na pia kutotumia njia maalum iliyowekwa kwa ajili ya kuingia kwenye eneo la kuchezea (pitch) katika mechi hiyo iliyochezwa Februari 16, 2019 katika Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam. Adhabu imetolewa kwa kuzingatia Kanuni ya 14(49) ya Ligi Kuu kuhusu Taratibu za Mchezo.
.
.
Nini maoni yetu?