SIMBA SC Yatua DAR

Makamanda wetu wamewasili nchini salama. Jumamosi watakuwa Uwanja wa Taifa kutoa burudani kwa Wanasimba na Watanzania wote. Hii ni #DoOrDie #NguvuMoja ✊🏽

“Tunamshukuru Mungu tumefika salama, tuna mchezo mwingine tutacheza na AS Vita, mimi naamini kabisa kwa morali tuliyonayo na mbinu za kocha tukiwepo nyumbani tutapambana na tutafuzu”- Nahodha John Bocco baada ya kuwasili nyumbani 🇹🇿. #DoOrDie #NguvuMoja ✊🏽