Kikosi cha As Vita Club tayari kipo nchini baada ya kuwasili jana Jumatano usiku tayari kwa mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Klabu bingwa Afrika dhidi ya Simba Sc Jumamosi hii Marchi 16




Kikosi cha As Vita Club tayari kipo nchini baada ya kuwasili jana Jumatano usiku tayari kwa mchezo wa mwisho wa hatua ya makundi ya Klabu bingwa Afrika dhidi ya Simba Sc Jumamosi hii Marchi 16



