Kamati ya saidia Stars ishinde yakutana Dar

Hivi karibuni Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) liliunda Kamati maalum ya kusaidia Taifa Stars ishinde mchezo dhidi ya Uganda utakaopigwa March 24 ili iweze kutinga fainali za AFCON zitakazofanyika nchini Misri baadae mwaka huu

Kamati hiyo inayoongozwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh Paul Makonda leo ilikutana katika kikao chake cha pili kilichofanyika Hoteli ya Serena jijini Dar es salaam

Kamati hiyo ina wajumbe 14.