
Kocha Mkuu wa Simba Patrick Aussems amekifanyia mabadiliko kikosi kinachoshuka dimbani leo, akiwapa mapumziko baadhi ya wachezaji huku wengine wakikosekana kutokana na kukabiliwa na majukumu ya timu za Taifa
Habari njema ni kujumuishwa kwa kiungo Jonas Mkude na Meddie Kagere ambao watajiunga na majukumu ya timu za Taifa baada ya mchezo wa leo
