AJAX : Beki na nahodha wa klabu ya Ajax Matthijs De Ligt amemwambia wakala wake Raiola kuwa kwasasa haangalii pesa

Beki na nahodha wa klabu ya Ajax Matthijs De Ligt amemwambia wakala wake Raiola kuwa kwasasa haangalii pesa ila kucheza Fc Barcelona ni ndoto aliyokuwa nayo tangu akiwa mtoto.
.
De Ligt ni moja ya mabeki bora kwasasa wanaowindwa na vilabu vikubwa barani Ulaya