Breaking News;
Uongozi wa Mbao Fc umefikia makubaliano na Mr Salum Mayanga kuwa kocha mkuu wa Mbao Fc.
Kabla ya kutua katika Camp la wabishi Kocha Salum Mayanga ameshawahi kufundisha Timu ya Taifa @taifastars_ na Mtibwa kwa mafanikio.
Tunamkaribisha Kocha wetu mpya katika jiji la Miamba Mwanza.