
Meneja wa Simba Patrick Rweyemamu amesema baada ya kucheza mechi mfululizo kwa takribani mwezi mzima, wamewapa wachezaji mapumziko hayo ili waweze kuondoa uchovu
Simba inatarajiwa kuerejea mazoezini Jumatatu ijayo kujiandaa na mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Mbao Fc ambao huenda ukapigwa dimba la Jamhuri mkoani Morogoro, March 31 2019
Uwanja wa Taifa unatarajiwa kufungwa baada ya mchezo kati ya Tanzania dhidi ya Uganda utakaopigwa Jumapili, March 24 2019