Droo ya makundi AFCON 2019 kupangwa April 12

Droo ya makundi ya fainali za michuano ya AFCON 2019 zitakazopigwa nchini Misri, itafanyika April 12 jijini Cairo

Baada ya kufuzu jana, Tanzania itakuwa miongoni mwa timu 24 zitakazopangwa katika makundi sita ya timu nne nne kuwania ubingwa wa Afrika

Timu zote zilizofuzu;