
Jana Zahera akiwa kocha msaidizi wa timu ya Taifa ya Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, alikiongoza kikosi cha timu hiyo kupata ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Liberia na kukata tiketi ya kufuzu fainali za AFCON 2019
Mwishoni mwa wiki hii Yanga itaelekea mkoani Mwanza kuikabili Alliance Fc katika mchezo utakaopigwa dimba la CCM Kirumba, March 30 2019
Kwa sasa Yanga inajifua chini ya kocha msaidizi Noel Mwandila