Simba yarejea mazoezini kuiwinda Mbao Fc

Baada ya mapumziko ya sikua tano, kikosi cha Simba kimerejea mazoezini leo kujiandaa na mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Mbao Fc

Mchezo huo unatarajiwa kupigwa Jumapili, March 31 na huenda ukapigwa kwenye uwanja wa Jamhuri mkoani Morogoro

Mazoezi ya leo yalihusisha wachezaji ambao hawakuitwa katika timu za Taifa