
Mapema leo CAF ilitoa taarifa juu ya mabadiliko hayo ambayo yamefanyika siku tano kabla ya mchezo utakaopigwa April 13 Lubumbashi, DR Congo
TP Mazembe ndio iliyoomba kubadilishwa kwa waamuzi hao
Simba imeeleza hofu yake kwa mabadiliko hayo ya kushitukiza kuwa yasije yakawa na lengo baya
“Tumetuma malalamiko dhidi ya @CAF_Online kwa kufanya mabadiliko ya waamuzi wa mchezo wa marudiano wa #CAFCL ambao tutacheza Jumamosi. / We have formally lodged a complaint against CAF for the abrupt change in referees ahead of match against TP Mazembe in this Saturday in DRC”

