
Huo utakuwa mchezo wa kwanza wa nyumbani kwa Yanga kuchezwa nje ya jiji la Dar es Salaam msimu huu
Kocha Mkuu wa Yanga Mwinyi Zahera amesema baada ya kulazimishwa sare mchezo uliopita dhidi ya Ndanda Fc, leo wanahitaji alama zote tatu
Viingilio vya mchezo huo ni Tsh 3,000/- kwa majukwaa ya kawaida na Tsh 10,000/- upande wa VIP