
Kikosi cha Yanga leo kimeendelea na mazoezi katika uwanja wa CCM Kirumba kujiandaa na mchezo huo
Kocha Mwinyi Zahera amesema watahakikisha wanashinda michezo yote nane iliyobaki ili kujiwekea mazingira ya kutwaa ubingwa kwani anaamini upo uwezekano mkubwa kwa Simba kupoteza baadhi ya michezo kutokana na ugumu wa ratiba itakayowakabili kama TFF haitawapendelea