
Leo Makambo aliisaidia Yanga kuibuka na ushindi muhimu wa mabao 3-2 dhidi ya Kagera Sugar
Makambo sasa anahitaji kufunga bao moja zaidi ili aweze kumfikia Salim Aiyee wa Mwadui Fc anayeongoza kwa ufungaji akiwa na mabao 16
Katika michezo miwili iliyopita, Makambo ameifungia Yanga mabao matatu