Bodi ya Wakurugenzi Simba yakutana Dar

Bodi ya Wakurugenzi ya Simba imekutana leo kwenye kikao cha kawaida jijini Dar es salaam

Kikao hicho kilichoongozwa na Mwekezaji Mohammed Dewji ambaye ndiye Mwenyekiti wa Bodi hiyo, kilikuwa maalum kwa ajili ya kutathmini ushiriki wa Simba kwenye michuano ya ligi ya mabingwa pia kujadili maendeleo ya klabu hiyo