
Kutokana na ukaribu wa michezo yake Simba imelazimika kusafiri usiku na mchana ili kwendana na ratiba ya viporo iliyopangwa na Bodi ya Ligi
Simba inaelekea Kanda ya Ziwa ambapo keshokutwa Jumamosi, April 20 2019 itakuwa dimba la Kaitaba kuikabili Kagera Sugar


