
Ndanda Fc pia ilipata alama moja moja kwenye michezo dhidi ya Yanga na Simba iliyopigwa katika uwanja huo
Matokeo hayo yameipandisha Ndanda Fc mpaka nafasi ya sita kwenye msimamo wa ligi baada ya kujikusanyia alama 43
Yanga yenye alama 74, imeendelea kubaki kileleni mwa msimamo wa ligi kwa tofauti ya alama nane dhidi ya Azam Fc inayoshika nafasi ya pili ikijikusanyia alama 66
Simba yenye michezo mingi ya viporo, inashika nafasi ya tatu ikiwa na alama 60