
Djuma alijiunga na AS Kigali mwezi Oktoba mwaka jana baada ya uongozi wa Simba kuvunja mkataba wake akituhumiwa kumfanyia hujuma kocha Patrick Aussems
Djuma ameinoa AS KIgali kwa muda wa miezi saba tu akitimuliwa baada ya kuiongoza timu hiyo katika michezo mitano iliyopita bila ya kupata ushindi