Simba ilivyojifua kabla ya kutimkia Mbeya sportextratz michezo, simba May 2, 2019 1 Minute Kikosi cha Simba tayari kiko mkoani Mbeya ambapo kesho kitashuka uwanja wa Sokoine kuikabili Mbeya City katika mchezo wa ligi kuu ya Tanzania Bara Kabla ya safari, asubuhi ya Alhamisi Simba ilifanya mazoezi ya mwisho uwanja wa Boko Veterans kujiandaa na mchezo huo Share this: Share on X (Opens in new window) X Share on Facebook (Opens in new window) Facebook Like Loading... Related Published by sportextratz View all posts by sportextratz Published May 2, 2019