Simba iliondoka jijini Dar es salaam mchana wa leo Alhamisi kwa usafiri wa Ndege
Kesho May 03 itacheza mchezo wa kwanza dhidi ya Mbeya City kwenye uwanja wa Sokoine na siku mbili baadae kurudi tena katika uwanja huo kuikabili Tanzania Prisons
Prisons iko jijini Dar es salaam ambapo leo imecheza na Yanga na kufungwa mabao 2-1, itachuana na Simba May 05