Simba yaelekea mkoani Mbeya

Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya Tanzania Bara, Simba wanaondoka asubuhi hii kuelekea mkoani Mbeya tayari nkwa michezo miwili ya ligi dhidi ya Mbeya City na Tanzania Prisons

Kesho Ijumaa May 03, Simba itashuka uwanja wa Sokoine kuikabili Mbeya City kisha kurejea tena katika uwanja huo May 05 kuikabili Tanzania Prisons

Ikiwa imesalia na michezo 10, Simba inahitaji kushinda michezo saba tu ili iweze kutetea ubingwa wake kwa msimu wa pili mfululizo

Hii hapa ratiba ya michezo yote iliyobaki