
Kesho Ijumaa May 03, Simba itashuka uwanja wa Sokoine kuikabili Mbeya City kisha kurejea tena katika uwanja huo May 05 kuikabili Tanzania Prisons
Ikiwa imesalia na michezo 10, Simba inahitaji kushinda michezo saba tu ili iweze kutetea ubingwa wake kwa msimu wa pili mfululizo
Hii hapa ratiba ya michezo yote iliyobaki
