Simba yamlilia Dk Mengi

Uongozi wa klabu ya Simba umepokea kwa masikitiko makubwa taarifa za kifo cha Mwenyekiti Mtendaji wa Makampuni ya IPP Dk Reginald Mengi kilichotokea jana Dubai

Taarifa iliyotolewa na Simba imesema klabu inaungana na familia na Watanzania katika kuomboleza msiba huo mkubwa