Yanga yaomboleza kifo cha Mwanachama wake Dk Mengi

TAARIFA

Uongozi wa Yanga, wanachama na mashabiki wamepokea kwa masikitiko makubwa sana kifo cha aliekuwa Mwenyekiti mtendaji wa makampuni ya IPP Dkt Reginald A Mengi kilichotokea jana uko falme za kiarabu

Mzee Mengi alikuwa mwanachama na pia mwanafamilia wa Yanga na tunatambua sana mchango wake kwenye klabu yetu

Tunaungana na Familia pamoja na wa Tanzania wote kwenye kipindi hiki kigumu cha Maombolezo

Bwana ametoa na bwana ametwaa jina lake lihimidiwe