
Mchezo huo utapigwa Jumatatu, May 06 uwanja wa Samora
Yanga inayosaka nafasi ya kurejea kwenye michuano ya Kimataifa msimu ujao, imepania kushinda mchezo huo ili kutinga fainali ambapo kama ikifanikiwa, itachuana na Azam Fc
Msafara wa Yanga umejumuisha wachezaji 24 ambao leo wataanza maandalizi ya mchezo huo mkoani Iringa