
Msafara wa viongozi hao umeongozwa na Mwenyekiti Dk Mbette Mshindo Msolla na Makamu Mwenyekiti Fredrick Mwakalebela pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Utendaji
Yanga imeweka mkazo katika kuhakikisha wanatinga fainali na baadae kutwaa taji la kombe la FA ili kupata nafasi ya kushiriki michuano ya CAF msimu ujao