
Mchezo wa Nusu fainali ya ASFC uwanja wa Samora Utachezwa leo Kati ya Lipuli na Yanga utaanza saa 9:30 Alasiri (sio saa kumi) kama ilivyopangwa awali.
Hii ni kutokana na kwamba kama kutakuwa na suluhu (sare) baada ya dk 90 kutakuwa na Extra Time na baadaye penalty.
Na viingilio vya mchezo wa leo ni kama ifuatavyo
V.I.P – 20,000
MZUNGUKO 5,000
WATOTO – 2,500
Upatapo taarifa hii usisite kumjulisha na Mwenzio ili kuepusha usumbufu unaoweza kujitokeza
Imetolewa
ALLY NGALA
Katibu Mkuu IRFA