
Inaelezwa klabu ya Yanga imepokea maombi kutoka klabu moja ya Uingereza ambayo inamuhitaji Fei Toto akafanye majaribio
Timu hiyo ambayo haikuwekwa hadharani, imedhamiria kumsajili Fei Toto kama atafuzu majaribio hayo
Fei Toto aliyetua Yanga mwaka jana, amekuwa katika kiwango bora, akijihakikishia namba kwenye kikosi cha kwanza cha kocha Mwinyi Zahera
Inaelezwa Yanga imejipanga kusajili kiungo mwingine ikitokea Fei Toto atafanikiwa kutimkia Uingereza