
Kiingilio cha chini cha mchezo huo utakaopigwa May 23 saa moja jioni, Mzunguuko ni Tsh 5,000/- wakati majukwaa ya VIP ni Tsh 15,000/-
Pia kutakuwa na tiketi za Platinumambazo zitapatikana kwa Tsh 100,000/-, kwa wanaohitaji tiketi hizi wawasilane na 0745346687
Mchezo huu wa Kimataifa utakuwa wa kihistoria, sio wa kukosa!