Tiketi Mechi dhidi ya Sevilla zimeanza kuuzwa

Tiketi kwa ajili ya kuushuhudia mchezo wa Kimataifa wa Kirafiki kati ya Simba dhidi ya Sevilla tayari zimeanza kuuzwa kupitia Selcom

Kiingilio cha chini cha mchezo huo utakaopigwa May 23 saa moja jioni, Mzunguuko ni Tsh 5,000/- wakati majukwaa ya VIP ni Tsh 15,000/-

Pia kutakuwa na tiketi za Platinumambazo zitapatikana kwa Tsh 100,000/-, kwa wanaohitaji tiketi hizi wawasilane na 0745346687

Mchezo huu wa Kimataifa utakuwa wa kihistoria, sio wa kukosa!

Leave a comment