Mshambuliaji wa klabu ya Juventus Cristiano Ronaldo jana amekabidhiwa tuzo yake

Mshambuliaji wa klabu ya Juventus Cristiano Ronaldo jana amekabidhiwa tuzo yake ya kuwa Mchezaji Bora wa mwaka katika Ligi Kuu Nchini Italia “Serie A” msimu huu uliomalizika.
.
Nyota huyo amekuwa Mchezaji wa kwanza katika Historia kushinda tuzo ya Mchezaji bora wa mwaka katika Ligi kuu tatu tofauti Kati ya Ligi kubwa tano Barani Ulaya..

Leave a comment