Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta amethibitisha kuwa ataondoka KRC Genk mwishoni mwa msimu huu

⚽Nahodha wa Taifa Stars, Mbwana Samatta amethibitisha kuwa ataondoka KRC Genk mwishoni mwa msimu huu, na kwamba klabu 6 za Uingereza na 2 za Hispania zinataka kumsajili, lakini amesema ndoto yake ni kucheza Uingereza.
. .. . . 👉Msimu huu @samagoal77 ameifungia Genk jumla ya magoli 32.

Leave a comment