Mshambuliaji wa Chelsea Edin Hazard ashinda Tuzo ya mchezaji bora wa EPL msimu huu 2018-2019

– Mshambuliaji wa Klabu ya Chelsea, Eden Hazard ametwaa tuzo ya Mchezaji Bora wa msimu wa Premier league 2018/19 kwa upande wa Mashabiki (PFA Fans Player of the Year); Hazard katika msimu huo Akiwa na The Blues kafunga magoli 16 na kutoa Assist 15:

:

✋🏻 Mpaka Sasa tuzo alizokusanya Hazard msimu huu.

🎯 Mchezaji mwenye Assist nyingi zaidi katika msimu ndani ya Premier League.

🥇 Mchezaji Bora wa Mwaka wa Mashabiki ndani ya Premier league.

🥇Mchezaji bora wa Mwaka wa Chelsea.

🥇Mchezaji Bora wa Mwaka wa Wachezaji ndani ya Chelsea.

🥇 Goli Bora la mwaka ndani ya Chelsea.

✋💷 £130m Dau La Chelsea kwa Klabu inayotaka Kumnunua..

#premierleague #chelsea

@Sokawaytz

credit: @sokawaytz

Leave a comment