Jorome Boateng atakiwa kuondoka Bayern Munich

Rais wa Klabu ya Bayern Munich Uli Hoeness amemwambia beki wa kati wa klabu hiyo Jérôme Boateng kuwa muda wa kucheza Bayern umeisha hivyo angependa kumshauri atafute klabu nyingine. (DW SPORTS) .

.

Mpaka sasa klabu za Arsenal pamoja na Manchester United zimeonyesha nia ya kumhitaji.

credit: @sokaonline_

Leave a comment