Rais wa fifa aipongeza simba kwa kutwaa ubingwa mara mbili mfululizo

Rais wa FIFA, Gianni Infantino ametuma salamu za kutupongeza kwa kutwaa ubingwa wa Ligi Kuu 2018/2019.

Katika salamu hizo ambazo Infantino amezituma kupitia kwa Rais wa TFF, Wallace Karia, amesema amefurahishwa kusikia tumetwaa ubingwa kwa mara ya pili mfululizo. #NguvuMoja

credit: @simbasctanzania

Leave a comment