Man united yajitosa Kusajili

credit: @sokaonline_…

Kwa mujibu wa taarifa kutoka kwenye mtandao wa ESPN Brazil, klabu ya Manchester United ipo tayari kutoa zaidi ya kiasi kisichopungua £110m ili kupata saini ya nyota wawili Matthijs De Ligt pamoja na Hakim Ziyech kutoka Ajax.

Leave a comment