
credit: @simbamakini…
Manchester United imeiambia Real Madrid kuwa kiungo wao Paul Pogba hauzwi kwa dau lolote. Madrid wamepanga kuimarisha kikosi chake ili kurejesha makali yao yaliyopteza katika misimu miwili iloyopita.
Madrid itamshawishi Pogba kuomba barua ya kuondoka (Transfer request) ili kupata nafasi ya kumsajili la sivyo haitawezeka kupata saini yake kwakua United imewakomalia.