De light atua Rasmi Paris sant Germany kwa mkataba wa miaka 5

credit: @sokawaytz…

– Rasmi!! Matthijs De Ligt leo amepokea ofa rasmi ya mkataba kutoka Klabu ya Paris Saint-Germain ambao ni Mabingwa wa Ufaransa; Ofa hiyo ni kwa Mkataba wa miaka mitano na Mshahara wa Β£350k kwa Wiki.

.

– Kwa mujibu wa @fabriziorom, Wakala Wake, Mino Raiola sasa yuko Paris, Ufaransa kuanza mazungumzo na mkurugenzi mpya wa PSG, Leonardo. Mchezaji huyo lakini bado hajaamua juu ya klabu yake ijayo wapi atatimkia, lakini PSG inatajwa kutaka kumaliza dili hilo mapemaa kabla ya Miamba wengine hawajapanda dau.. De Ligt anasubiri kama vilabu vingine (zaidi ya Barcelona, kuliko Manchester United au Liverpool ambapo hawezi kwenda) watawasilisha dau lingine Baada ya na hapo basi atatangaza uhamuzi wake.. πŸ‡³πŸ‡±πŸ”΅

#deligt #psg #mufc #lfc #barcelona #transfers

@Sokawaytz

Leave a comment